Premier League
Baada ya wikiendi kuisha kwa kuchezwa kwa michezo mbalimbali ligi kuu wingereza kuendelea usiku huu kwa kupigwa kwa mchezo mmoja tu ambao ni Kati ya Middlesbrough dhidi ya Arsenal. Arsenal wanatakiwa kushinda mechi hii ili kufufu matumaini ya kuingia big four.
Maoni
Chapisha Maoni